MFUMO KUWASAIDIA WAHAMAJI WAJA
Na WMJJWM- Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa kushirikiana na Taasisi nyingine za Serikali pamoja na wadau inaandaa mfumo wa rufaa kwa…
ONYO KALI
‘’Ziko changamoto, changamoto hizo sio za Dkt. Samia Suluhu Hassan ni sisi wasaidizi wake, kutokujua kutafsiri maono ya Rais wetu na kutekeleza kwa kasi, huu mradi huyu mkandarasi atamaliza mapema…
BASHUNGWA ATOA MAAGIZO MAZITO TAMESA KUHUSU VIVUKO
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuagiza Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Lazaro Kilahala kuhakikishia anasimamia masuala ya usalama katika vivuko vyote nchini ili viweze kutoa huduma…
KITUO CHA JPG POLKYCLKINIC CHATOA MATIBABU BURE KWA WAZEE
Kituo cha Jamii Partners Group (JPG) POLYCLINIC kilichopo Chang'ombe mtaa wa keko bora ambacho kuwepo kwake ni kutokana uwezeshaji wa serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe.Rais Dkt. Samia…
MKATABA WA KWANZA WA WAZI KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA WASAINIWA HAI, MBUNGE SAASHISHA AISHUKURU SERIKALI
Na Ashrack Miraji Mkataba wa kwanza wa Wazi katika vyama vya ushirika na ulioandikwa kwa lugha ya kiswahili na kingereza umesainiwa leo kati ya chama cha ushirika cha MUROSO SANGI…
MDAU WA MAENDELEO APELEKA TABASAM KWA WANANCHI WA SINGA KWA KUWAJENGEA ZAHANAT YA KISASA
Ashrack Miraji, (Same) Kilimanjaro. Wanakijiji wa Singa,kata ya Kibosho Mashariki mkoani Kilimanjaro wameonesha kufurahishwa kwa kujengewa zahanati na Mdau wa maendeleo Joseph Mushi ambaye amechukua hatua ya kujenga zahanati ya…
🔴 UJENZI NA UBORESHAJI KIWANJA CHA NDEGE CHA TABORA KUKAMILIKA OKTOBA, 2024
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameihakikishia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kuwa Serikali itahakikisha inasimamia ukarabati na uboreshaji wa Kiwanja cha Ndege cha Tabora ili kukamilika ifikapo mwezi…
🔴 POLISI YAWATAKA WANANCHI KUWATAJA WEZI WA MIFUGO ENDASAK.
Jeshi la Polisi Kikosi cha kuzuia wizi wa Mifugo limewataka Wananchi wa Kata ya Endasak Wilaya Hanang Mkoa wa Manyara kuwataja watu wanaojihusisha na wizi wa Mifugo katika eneo hilo…
“TUWAELIMISHE VIJANA NAMNA YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VVU” MHE. UMMY
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga amewataka wazazi kuwa karibu na vijana kuwaelimisha namna ya kujikinga na maambukizi ya VVU. Mhe. Ummy ameyasema…


