MBOWE ATIMIZA MIONGO MIWILI KITINI
Na. Mwandishi wetu, Imetimia miaka 20 kamili tangu kuingia madarakani kwa mwemyekiti wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA Freeman Aikael Mbowe maarufu kama Kamanda wa Anga ama Kaka Mbowe…
DKT.DIMWA : ANENA JUU YA MUUNGANO.
NA IS-HAKA OMAR,ZANZIBAR. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt. Mohamed Said Dimwa, amesema chama hicho kinaridhishwa na juhudi za Serikali zote mbili katika kuimarisha Muungano wa…
JAJI MKUU ‘ATUMIKA’ KUTETEA MIKOPO CHECHEFU
NUKUU ‘’Mfano Jaji mmoja kati ya waliohukumu hizo kesi, kabla alikuwa wakili, Mwaka 2015 aligogembea ubunge kura za maoni CCM akashindwa, mwaka 2016 akateuliwa kuwa DED(Mkurugenzi wa Halmashauri) katika moja…
MAUMIVU MIKOPO CHECHEFU
Na. Mwandishi wetu, Wakati serikali ikitumia mabilioni ya fedha kuwezesha mabenki kujiendesha inayoyamiliki kujiendesha kutokana na kukosa mitaji, dalili za fedha hizo kupotea ama kutafunwa na wajanja inaonekana wazi kama…
MTANDAO MPANA MIKOPO CHECHEFU
MTANDAO MPANA Wakati vijana wa kitanzania, kina mama na walemavu wakishangilia kurejeshwa kwa mikopo ya asilimia 10 ya Halimashauri mikopo ambayo hapo awali walikuwa wakikopeswa kwa vikundi vikundi ili kujikimu…
MCHEZO MCHAFU MIKOPO CHECHEFU(RIPOTI MAALUM )
Na. Mwandishi wetu, Jitihada za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kukaribisha na kuhamasisha uwekezaji wa ndani na kutoka nje ya nchi kuja kuwekeza nchini unaelezwa kutiwa kigingi na tabia chafu…
🛑 WATALII 10 MAARUFU KUTOKA OMAN WATUA NCHINII
Katika Kukuza Sekta ya Utalii nchini Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imepokea wageni 10 maarufu kutoka nchini Oman (Dream Team Explorers) ambao watatembelea, kuona…
🛑 SERIKALI KUJENGA DARAJA LA MITOMONI – RUVUMA
Serikali ya Awamu ya Sita, Chini ya Wizara ya Ujenzi ipo mbioni kujenga Daraja la Kisasa na la Kudumu kwenye mto wa Mitomoni, kijiji cha mapotopoto ambalo litaunganisha Wilaya ya…