Na Dotto Kwilasa,Dodoma
ILIKUWA Desemba 15-16 Mwaka 2020 ambapo Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH)iliendesha mafunzo ya uandishi wa habari za Sayansi,Teknolojia na...
BBC,UINGEREZA
SIKU chache zilizopita Elon Musk alitangazwa kuwa mtu tajiri zaidi duniani, akimpiku mwanzilishi wa Amazon Jeff Bezos.
Utajiri wa mfanyabiashara huyo wa magari ya Tesla...
>> Asisitiza soko la samaki nchini humo ni kubwa
Na AZIZA MASOUD,DAR ES SALAAM
SAMAKI ni moja ya biashara kubwa ambayo inafanywa na watanzania wengi na...
NEWYORK,MAREKANI
WATU wengi sana wamekuwa wakishangaa matajiri na kuwaza kuwa kundi hili dogo la watu wenye fedha nyingi wanakuwa wakipata wapi utajiri huo.
Kuna njia mbalimbali...
>>Awapa onyo wanahujumu miundombinu TTCL
NA AZIZA MASOUD,DAR ES SALAAM
KUMEKUWA na changamoto kubwa yakuhifadhi taarifa za watu binafsi,taasisi na mashikirika mbalimbali nchini...
NA MWANDISHI WETU
WANAWAKE wa Freemason wamekuwa wakikongamana kwa zaidi ya miaka 100 sasa-wakifanya matambiko na sherehe sawa na wenzao wa kiume.
Lakini si watu wengi...
NA MWANDISHI WETU
Mara nyingi uhusiano huchukuliwa kuwa kati ya watu wawili tu. Lakini ukweli wa mambo ni kwamba utamaduni huu sasa unaanza kutiliwa mashaka...
ISLAMABAD, Pakistan
SHERIA yenye utata ya kukufuru nchini Pakistan, ambayo kwa muda mrefu imekuwa ikitumika kuwatisha wachache katika nchi hizo, sasa inatumiwa kuwanyamazisha wanawake wanaopigania...
BEIJING, China
Mbunge wa Uholanzi, Sjoerd Sjoerdsma amewekwa kwenye orodha ya vikwazo na China kutokana na uamuzi wa jumuiya nchi za ulaya (EU) kuwawekea vikwazo...
Na Mwandishi Wetu
MBWANA Samatta, nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa haikuwa hesabu zao kuishia hatua ya makundi katika kuwania...
NA MWANDISHI WETU, DODOMA
Imeelezwa kuwa Sekta ya Madini Imezidi kuimarika miaka ya hivi karibuni kutokana na juhudi za makusudi zilizochukuliwa na Serikali ikiwa ni...
ISLAMABAD, Pakistani
MWANDISHI wa habari mwandamizi na mwenyekiti wa zamani Mamlaka ya Udhibiti wa Vyombo vya Elektroniki vya Pakistan (Pemra) Absar Alam amepinga wito aliopewa...