JAMVI LA HABARI JAN 31, 2025
Leo gazeti la Jamvi la habari limeandiaka habari za kukufanya ufahamu wapi Tanzania inaelekea huku likiandika ahadi ya Dkt. Samia juu ya serikali kukabiliana na maafa nchini.
BUSATI LEO JAN 31,2025.
Leo gazeti la busati limeangazia taarifa mbalimbali na kukusogezea fursa ka kukuelimisha juu ya kufaidika na utalii wa Tanzania kama mwananchi wa Tanzania.
TANZANIA BORA LEO JAN 31,2025.
Leo Gazeti la Tanzaniabora limeangazia taarifa nyingi na moja ya taarifa hizo ni pamoja na Dkt. Biteko ameshirki na kuongoza mazishi ya wanafunzi saba Geita.
MJASIRIAMALI JAN 31, 2025.
Leo gazeti la mjasiriamali limeainisha baadhi ya shuhuda za wajasiriamali juu ya changangamoto wanazo kumbana nazo na Rais anazipigania. Habari kuu ikiwa ni uwekezaji wa trillion 33 kutoka kwa serikali.
🛑Manala Mbumba: Mkutano wa M300 Umetoa Jawabu Kwa Afrika
KONGAMANO la Nishati la Afrika lililofanyika nchini Tanzania tarehe 27-28 Januari 2025 linatoa fursa muhimu kwa nchi yetu na bara zima katika kuimarisha ajenda ya maendeleo endelevu kupitia upatikanaji wa…
🛑Mjasiriamali fahamu njia za kupata mtaji kwa urahisi.
KIKWAZO cha wengi kuingia kwenye biashara kimekuwa ni mtaji, hiki kimekuwa kilio cha kila anayetaka kuingia kwenye biashara na akashindwa au aliye kwenye biashara na kushindwa kuikuza. Kila anayeshindwa kuingia…
🛑Dunia inasubiri nini kwa kinachotokea Goma?
RAIS wa DRC, Felix Tshisekedi, hatahudhuria mkutano usio wa kawaida wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ulioitishwa na Rais William Ruto wa Kenya kuhusu mgogoro wa kiusalama mashariki mwa jimbo…
🛑AZIMIO LA DAR UKOMBOZI KWA ‘MCHUMIA TUMBO’.
FIKRA ZA MJASIRIAMALI MWANZONI mwa wiki kulikuwa na mkutano wa siku mbili kujadili mustakabali wa umeme ndani ya Bara la Afrika, ambapo ulishirikisha wakuu wa nchi zilizomo ndani ya bara…
🛑HONGERA RAIS SAMIA MKAKATI KAYA MILIONI 8.3 KUPATA UMEME.
JUZI Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alisema kuwa Mpango Mahsusi wa Kitaifa kuhusu Nishati (National Energy Compact) uliozinduliwa unalenga kuiwezeseha Tanzania kuunganisha umeme kwa kaya milioni 8.3 zaidi ifikapo mwaka…
KUMEKUCHA LEO JAN 30, 2025.
Leo tena jogoo amewika tumeamka na niishara ya kumekucha na tunapata taarifa zilizojiri.Gazeti la kumekucha Leo limeangaza kwa ukubwa nguvu ya siasa katika maendeleo kwa kuosnyesha patashika za kutaja mafanikio…