BASHUNGWA ATOA MIEZI MIWILI KWA MKANDARASI KUKAMILISHA DARAJA LA MTO RUAHA MKUU – KILOMBERO
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ametoa miezi miwili kwa Mkandarasi wa Kampuni ya M/s Reynolds Construction Company kukamilisha ujenzi wa Barabara ya Mikumi-Kidatu-Ifakara, sehemu ya Kidatu-Ifakara ( Km 66.9) kwa…
Ulinzi shirikishi dhana inayobebwa na wananchi kikamilifu Makumbusho
ULINZI shirikishi ni ushirikishwaji wa jamii nzima na wadau wa masuala ya usalama katika kubaini , kuzuia na kutatua uhalifu na kero mbalimbali za uhalifu katika jamii kwa kushirikiana na…
WANANCHI KIJIJI CHA SINGA KATA YA KIBOSHO WALAZIMIKA KUNYWA MAJI MACHAFU YA MTO KARANGA
Na Ashrack Miraji Same kilimanjaro Wananchi hao wamesema wanalazimika kunywa maji hayo kutokana na mgao mkubwa wa maji uliopo katika kitongoji hicho kwa mwezi wanapata mgao wa maji mara moja…
Waziri Kairuki mgeni rasmi tamasha la Utalii la Same Utalii Festival
Ashrack Miraji Same kilimanjaro Akizungumza na waandishi wa habari juu ya maandalizi ya tamasha hilo, mkuu wa wilaya ya Same Kasilda Mgeni amesema kwa sehemu kubwa maandalizi yamekamilika matarajio ni…
BEI CHEE KULALA MIKUMI
Na Mwandishi, MOROGORO Watanzania wanaotaka kwenda kutalii hifadhini na kusita kufanya hivyo wakihofia gharama kubwa za kulala hotelini wawapo hifadhini wametolewa hofu hiyo kutokana kuwepo kwa malazi mazuri yanayomilikiwa na…
USIYOYAJUA KUHUSU MIKUMI
Na Mwandishi Wetu , MOROGORO HIFADHI ya Mikumi imesema kuwa watanzania kutalii hifadhi pamoja na kupata malazi katika hifadhi hiyo ni gharama shilingi 23000. Hayo ameyasema Mkuu wa Hifadhi ya…
WATU 17 WAKIWEMO WAFANYAKAZI WA TANESCO MKOANI KILIMANJARO WANASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA TUHUMA ZA KUUNGANISHIA WATU UMEME KINYEMELA
Na Ashrack Miraji Same kilimanjaro Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kukamatwa kwa watu hao, ambapo amesema miongoni mwa watu wanaoshikiliwa yupo kinara ambaye ni kiongozi wa…
Rais Dk Samia akutana na Rais Hichilema Ikulu ya Lusaka
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na mwenyeji wake Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema mara baada ya kuwasili Ikulu…
Mafanikio ya ziara ya Rais Samia aliyofanya Doha nchini Qatar na New Delhi India
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Zuhura Yunus akizungumza na kuwaelezea Waandishi wa Habari kuhusu Mafanikio ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan…