LEO FEBRUARI 4, 2025.
Gazeti la Mjasiriamali linakukutanisha na gursa kedekede za kukufanya ufikie maleongo na ufahamu kuhusu waliofanikiwa walipita njia gani. miongonimwa unayo yahitaji nipamoja na kutambua boashara za kufanya ukiwa na mtaji…
🛑ILI UWE BILIONEA, FANYA HIVI.
KUNA wakati jarida maarufu la Forbes ilizua maoni mengi wakati lilipodai mmoja kati ya watu nyota kwenye mitandao ya kijamii kwa wakati huo, Kylie Jenner amepata utajiri wa karibu Dola…
🛑FAIDA ZA KUFANYA BIASHARA KWA BIDII.
KUNA fikra potofu zimejengeka miongoni mwa watu wakidhani kuwa kufanya kazi kwa bidii ni utumwa. Hii ni kutokana na dunia ya sasa kujaa watu wasiopenda kazi na wavivu. 1. Bidii…
🛑KILIMO CHA VITUNGUU SAUMU VITAKAVYOKUTOA
KILIMO cha vitunguu saumu nchini Tanzania kinapata umaarufu kwa kasi kama biashara ya kilimo yenye matumaini, kutokana na ongezeko kubwa la mahitaji ya ndani na katika soko la kimataifa. Vitunguu…
🛑MAJESHI YA KUAZIMA MUHIMU TAIFA STARS (MASWALI YA KUJIULIZA VIONGOZI WA JUU, JUU YA TAIFA STARS).
USAJILI wa mchezaji wa kigeni ukifanywa vizuri huibua mijadala mingi yenye kila sababu ya kumfikirisha vilivyo shabiki wa timu zetu na Taifa Stars. Udhaifu wa wachezaji wetu wazalendo huanikwa hadharani.…
🛑FUNDI MWENYE UCHU ALIYEPITA SIMBA SC.
MWANZONI mwa miaka ya 1990, klabu ya Simba ilibahatika kusajili wachezaji wengi chipukizi ambao baadaye wakifanikiwa kuwa mahiri na kuiletea mafanikio klabu hiyo yenye maskani yake makuu Kariakoo, mtaa wa…
🛑Ndoto ya Rais Samiakutimizwa katika utalii.
NDOTO ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuongeza idadi ya watalii nchini hadi kufikia milioni tano ifikapo mwaka 2025 na pato la Taifa linalotokana na utalii kufikia Shilingi bilioni…
🛑UWEKEZAJI HUU UTAKUWA SAFI.
KATIKA kile kile kinachoonekana kujiimarisha zaidi katika uwekezaji Serikali ya Zanzibar, imejipanga kuweka mazingira mazuri zaidi katika uwekezaji visiwani humo. Hii yote ni kuhakikisha wakazi wa Zanzibar na Watanzania kwa…
🛑TRUMP AWALILIA JOE BIDEN,BARACK OBAMA MKASA WA NDEGE KUPATA AJALI WASHINGTON DC.
Rais wa marekani Donald Trump alaumu watangulizi wake katika uongozi wa Marekani na wakuu wa anga kwa kuajiri watu kwenye fani nyeti wasio kidhi vigezo huku akieleza trafiki wa ndege…
🛑Chloe Kelly: MAN CITY WANATAKA KUUA TABIA YANGU.
Mchezaji wa timu ya wanawake ya man city Chloe Kelly atoa taarifa mbaya akiituhumu Man City kwa kujaribu 'kumuua tabia yake' baada ya siku ya mwisho ya kuhamia Arsenal kwa…