🛑WAKUU AFRIKA KUKUTANA DAR KUTATUA NISHATI
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema kuwa maandalizi ya Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika wenye lengo la kuharakisha upatikanaji umeme kwa…
🛑MILANGO YA UWEKEZAJI ZANZIBAR IKO WAZI : DR. MWINYI
NA MWANDISHI WETU, Z’bar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar itaendelea kuweka mazingira mazuri zaidi ya kuwavutia wawekezaji zaidi kuwekeza nchini.…
🛑DKT SAMIA: TUTACHOCHEA UCHUMI
NA MWANDISHI WETU RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan amesisitiza Tanzania itaendelea kuwa nchi ya kutegemewa katika kukuza ushirikiano wa kimataifa, kuchochea ukuaji wa kiuchumi, na kudumisha amani na usalama barani…
🔴MANCHESTER UNITED : NENE BADO KIDOGO.
⚪️ Manchester United wamemuongeza Nene Dorgeles winga mwenye umrinwa miaka 22 kutokea Mali 🇲🇱 kwenye orodha ya wachezaji wanao wahitaji kwenye majira ya baridi, Kijana huyo raia wa Mali anaekipiga…
UPINZANI WAPINGA UCHAGUZI COMORO🇰🇲
Waziri wa zamani wa mambo ya ndani na kiongozi wa upimzani katika taifa la Bahari ya Hindi la Comoro apinga matokeo ya uchaguzi wa wabunge, ambao ulisusiwa na wapinzani, kwa…
100 WAFARIKI MGODINI SOUTH AFRIKA
Wanaosadiskika kuwa Wachambaji madini haramu 100 kwenye mgodi wa dhahabu usiofanya kazi Afrika Kusini wafariki baada ya kunasa chini ya mgodi huo kwa miezi kadhaa huku polisi wakijaribu kuwaondoa .…
NBA IMEPAMBA MOTO LEO KWA MICHEZO SITA KUPIGWA.
Alfajir ya kuamkia Leo tarehe 14/01/2025 imechechezwa michezo sita katika ligi ya mpira wa kikapu Marekani (NBA) ambapo michezo minne imemalizika na mingine miwili ikiwa inaendelea. Michezo iliyo malizika. Washington…
🛑MAAMUZI MAGUMU YA BECKHAM KATI YA MAPENZI AU KAZI
Nifahari kushuhudia unakua na mwanamke anaekupa heshima ya kuitwa baba kwa kukuzalia mtoto, ila simulizi ya Beckham imekuwa tofauti, hii hapa hemu tuone nini alifanya. Kabla David Beckham hajamuoa Victoria,…
🛑FAHAMU TAMADUNI NGUMU ZAIDI DUNIA
Tamaduni, Mila na Desturi ni vitu vinavyo tuongoza kuwa watu wema na wenye ubinadamu, lakini baadhi ya tamaduni hazibebi taswira ya ubinadamu bali hubeba taswira ya ukatili.Ipo tamaduni ya kupunguza…