⚽KAULI YA RAMOVIC YAKERA WENGI
NA ASHA SEKEFUKAULI ya Kocha wa Yanga, Saed Ramovic, ya kudai Ligi Kuu Tanzania Bara imewaibua wadau mbalimbali ambao wamesema, anatakiwa kuomba radhi kwani kusema hivyo ni kuikosea heshima nchi…
⚽SIMBA SC YAWAOMBEA URAIA WACHEZAJI 9 WAKIGENI
Klabu ya Simba SC leo tarehe 23 Januari 2025, imetuma maombi kwenye idara ya uhamiaji kuomba wachezaji wao 9 wa Kimataifa ambao hawapati nafasi kwenye timu zao za Taifa ili…
WATACHEZA MIDUNDO YA FADLU ??
NA MWANDISHI WETUKWA sasa Simba inaonekana kujipata, haswa baada ya kufanya vyema katika Kombe la Shirikisho Afrika na Ligi Kuu, huku wapinzani wake wakionekana kuanza kucheza ‘beats’ za kocha Fadlu…
CHUMA ULETE INAVYOWAKONDESHA WAFANYA BIASHARA WENGI
NA MWANDISHI WETUWAKATI ikiwa ni kilio kikubwa juu ya ‘‘Chuma Ulete’, kitu ambacho kinawakondesha wajasiriamali wengi, baadhi yao wanaamini kuna watu wanaishi maisha ya anasa na starehe bila kufanya kazi.…
⚽YANGA KUITAMBULISHA MASHINE YA KUGUSA NA KUACHIA JUMAMOSI
NA MWANDISHI WETUJONATHAN Ikangalombo winga hatari wa Yanga aliyesajiliwa kutoka AS Vita kutoka nchini DRC, ambaye Jangwani wanamwita 'Mashine ya Kugusa na Kuachia' atatambulishwa rasmi kwa mashabiki pia ataanza kuichezea…
⚽ELIE MPANZU AZIDI KUNOGA MSIMBAZI
NA MWANDISHI WETUSIMBA inaendelea kujivunia usajili wa kiungo wake mshambuliaji hatari Elie Mpanzu aliyeanza kuitumikia timu hiyo baada ya usajili wa dirisha dogo, akitokea katika klabu ya As Vita nchini…
☘️UTUPA: MMEA WENYE MAAJABU MAKUBWA DUNIANI
UTUPA ni aina ya mmea unaopatikana zaidi sehemu zenye baridi hasa nyanda za juu na unastawi sehemu zenye mvua za wastani na nyingi. Mmea huu hauhimili ukame. Utupa hukua haraka…
🚨𝐓𝐀𝐍𝐀𝐏𝐀 𝐘𝐀𝐙𝐈𝐍𝐃𝐔𝐀”𝐕𝐀𝐋𝐄𝐍𝐓𝐈𝐍𝐄 𝐖𝐄𝐄𝐊𝐄𝐍𝐃 𝐆𝐀𝐓𝐄𝐀𝐖𝐀𝐘
Na Philipo Hassan - MwanzaSHIRIKA la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kwa kushirikiana na Kampuni ya Busybee imezindua Kampeni yake ijulikanayo Valentine Weekend Gateway jijini Mwanza, lengo likiwa ni kuhamasisha…
🪙BENKI KUU YANUNUA TANI 2.6 ZA DHAHABU
NA MWANDISHI WETUWAZIRI wa Madini,Anthony Mavunde,amebainisha kuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imenunua tani 2.6 za dhahabu inayochimbwa na kusafishwa hapa nchini ikiwa ni sehemu ya juhudi za kukabiliana na…
🚨WOSIA MZITO WA MBOWE NI MWANZO WA CHADEMA MPYA
NA ILHAM JUMAMWENYEKITI mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe amesema uchaguzi wa viongozi ndani ya chama hicho umeacha majeraha mengi miongoni mwa wanachama. Kufuatia hali hiyo,…


