WENJE AWASHUSHUA WANAOBEZA MARIDHIANO
MWENYEKITIi wa Chadema, Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje amedai kuwa suala la maridhiano ambalo kwa sasa limeibua sintofahamu ndani ya chama hicho lilianza tangu wakati wa Rais wa awamu ya…
🛑MHANDISI MANALA MBUMBA APIGANIA MAONO YA SAMIA NDANI YA KAHAMA
Vitu vikubwa, mambo makubwa ndiyo yanayofanywa na Mhandisi Manala Tabu Mbumba, kubwa zaidi ikiwa ni kuzipigania na kuzitimiza ndoto za Rais Dk. Samia Suluhu Hassan juu ya matumizi ya nishati…
🛑DKT. SAMIA AWEKA REKODI MPYA KWENYE NISHANI NCHINI
UKWELI usiopingika kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amechukua hatua kadhaa katika kuhakikisha nishati safi na salama inapatikana na kufanikisha maendeleo ya sekta hii nchini. Chini ya uongozi wake, Tanzania…
🛑RUZUKU YA NISHATI SAFI KUWANUFAISHA WANANCHI
Serikali inaendelea na ukamilishaji wa taratibu za kuanzisha Mfuko wa Nishatisafi ya kupikia ili kuweka ruzuku itakayowawezesha wananchi wa kipato chachini kumudu bei ya gesi. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu…
🍤MAGONJWA HATARI YANAVYOATHILI UFUGAJI WA SAMAKI
NA MWANDISHI MAALUM SAMAKI ni lishe miongoni mwa Watanzania wengi, pia wafanyabiashara wamekuwa wakijipatia kipato kizuri kwa kufanya biashara ya samaki. Mbali na samaki kutumika kutengeneza vitoweo mbalimbali pia huunda…
⭕SIDO KUWABEBA WAJASIRIAMALI
KATIKA utekelezaji wa mikakati yake na hususani kwenye uwekezaji, Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) limeendelea kuhakikisha wajasiriamali wazalishaji wanapatiwa maeneo mazuri ya uzalishaji wa bidhaa zao. Lengo ni kuhakikisha…
⚽SIMBA, YANGA ZINAVYOKABANA KOO LIGI KUU
NA MWANDISHI WETU WAKATI jumla ya mabao 264 yakifungwa hadi kumalizika kwa mechi za mzunguko wa kwanza, Simba inaonekana ni hatari zaidi kufunga mabao wachezaji wake wanapokuwa ndani ya eneo…
⭕JINSI YA KUPAMBANA NA MAZINGIRA YA KUPATA MTAJI
CHANGAMOTO inayotokana na upatikanaji wa mitaji, hasa fedha ya kuendeshea shughuli za kijasiriamali, hili ni tatizo kubwa kwa wajasiriamali walio wengi. Tunapoongelea mtaji tunamaanisha vitu vingi wakiwemo watu, ingawa katika…
🛑MAREHEMU AKUTWA NA DENI LA TSH’s 24.5 BILIONI
KHA! Bosi wa zamani wa timu ya England na Manchester City, Sven-Goran Eriksson ‘amefuatwa kaburini na deni’ la Paundi milioni 8 (Sh bilioni 24.5) na sasa nyumba yake imewekwa sokoni…
🛑WAJASIRIAMALI KULA DODO UENYEJI WA CHAN, AFCON
Kongamano la wadau wa michezo kuelekea CHAN 2024 na AFCON 2027 lililofanyika Johari Rotana januari 15,2025 limeweka wazi juu ya ujio wa fursa nyingi zitakazo patikana wakati wa mashindano ambapo…