🛑MIAKA KUMI JELA,VIFO VYA WANAE WANNE
Mama afungwa miaka 10 jela baada ya kuwaacha wana wanne kufa kwa moto wa kutisha wa nyumba iliyozingirwa na kinyesi na takataka alipokuwa akienda kununua mahitaji. Mama mmoja amefungwa jela…
🛑SIMBACHAWENE AMCHANA MBOWE
WAZIRI w a Nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amemshukia aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)Freeman Mbowe kuhusiana na hoja…
🛑FADLU: WATAJAAKATIKA MFUMO
KWA sasa Simba inaonekana kujipata, haswa baada ya kufanya vyema katika Kombe la Shirikisho Afrika na Ligi Kuu, huku wapinzani wake wakionekana kuanza kucheza ‘beats’ za kocha Fadlu Davids. Kocha…
🛑Ndege Tumbusi; ‘Sabuni ya Mazingira’ inayoangamizwa.
TUMBUSI ni ndege w a k u b w a w a mawindo wa familia ya Accipitridae na Carthatidae. Tumbusi ni ndege wanaokula mizoga hasa katika maeneo ya hifadhi za…
🛑KISHINDO CHA DKT. SAMIA CHATIKISA UTALII
KAZI kubwa ya kutangaza vivutio vya utalii vya nchi yetu duniani iliyofanywa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kudhihirika na kishindo chake kutikisa katika Hifadhi ya Urithi wa Utamaduni…
🛑BESENI KICHWANI, ILA MCHICHA UNALIPA
WAKATI wakulima wakijikita kwa kiasi kikubwa kwenye mazao mengi ya bustani kama vile nyanya, karoti,kabichi na mengine mengi, hawana budi pia kuweka mkazo katika zao la mchichi ambalo huvunwa kwa…
🛑SIRI YA UJASIRIAMALI NA NJIA TANO ZA KUKOPA BENK
TUNAPOZUNGUMZIA ujasiriamali ni lazima kwanza ujue nini maana ya neno hilo ambalo lilianza kutumika miaka ya 1700 likiwa na maana ya kawaida ya kuanzisha biashara. Lakini maana ya ujasiriamali kutoka…
🛑BUNGELAPONGEZAUWEZESHAJIWANAWAKEKIUCHUMI
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeipongeza Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa kuratibu kwa ufanisi utekelezaji wa Programu ya…
🛑WANANCHI KUPIGWA MSASA ELIMU YA FEDHA
SERIKALI kupitia Wizara ya Fedha, imeahidi kuendelea kutekeleza azma yake ya kuhakikisha elimu ya fedha inawafikia wananchi wote ili kuhakikisha kuwa wanaelimika kuhusu masuala ya fedha, mikopo, uwekezaji ili kuwawezesha…
🛑SERIKALI, SEKTA BINAFSI ZAKUTANA KUJADILI BIASHARA
MAONO na maelekezo ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan yamewezesha kufanyika kwa kikao muhimu na chenye tija, kati ya Serikali na Wizara ya Viwanda na Biashara ili kujadili changamoto mbalimbali…


