🛑MAGAZETINI LEO
Kutana na fursa, habari za kukufunza na kukujuza juu ya mwenendo wa ulimwengu kupitia nakala za magazeti haya. #unasubiri nini mtuwangu #kamata fursa
🛑WAAFRIKA MILIONI 300 KWENYE MPANGO WA MKUTANO WA NISHATI.
Leo kwenye mkutano wa wakuu wa afrika kujadili nishati unaofanyika jijini Dar es salaamu katika ukumbi wa mikutano wa Julius Nyerere International Convetion Center (JNICC) Naibu Waziri mkuu wa Tanzania…
🛑FAHAMU JINSI YA KUFUGA VIFARANGA.
mjasiriamali unapokuwa na vifaranga vya kuku, lazima utaweka mazingira mazuri ya mahali pa kulelea (Brooder), ambapo hapa tunakuelimisha ili ujue unapaswa, utayarishe mahali pa kukuzia kwa kutumia vifaa gani. Hard…
🛑ACHA MASIHARA, LIMA BAMIA ITAKUTOA!
UNAWEZA kufaidika na kuongeza pato kwa kuzalisha bamia tambua hilo, ila kwa kama unataka kujua ni kwamba bamia ni zao linalolimwa sana nchi za joto. Zao hili hutumika kama mboga…
🛑MACHINGA WATAKIWA KUCHANGAMKIA VITAMBULISHO.
NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mwanaidi Ali Khamisi amewataka Wanawake, Vijana, Watu Wenye Ulemavu mkoani Tanga na maeneo mengine ya nchi kuchangamkia fursa ya…
🛑WAJASIRIAMALI KUPEWA ELIMU YA KIDIJITALI
WIZARA ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa kushirikiana na Taasisi ya CRDB Foundation zimekubaliana kushirikiana katika kutoa elimu kwa wajasiriamali kutumia teknolojia ya kidijitali na upatikanaji…
🛑GWAJIMA : CHANGAMKIENI FURSA ZA KIUCHUMI
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake, na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amewahimiza wananchi kuchangamkia fursa za kiuchumi zinazotolewa na Serikali, ikiwemo mikopo yenye lengo la kuwawezesha wananchi kuinuka…
🛑NFRA YAKABIDHI KITUO USIMAMIZIMAZAO YA NAFAKA
KATIBU Mkuu Wizara ya Kilimo, Gerald Mweli amekabidhi rasmi Mradi wa Kituo cha Uhaulishaji Teknolojia (Lot 1&3) kwa Wakala wa Taifa Hifadhi ya Chakula (NFRA) ikiwa ni sehemu ya Kituo…
🔴 WASIRA; TULETEENI WAGOMBEA WANAO KUBALIKA.
Leo katika viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es Salaam kwenye mkutano wa kumkaribisha makamu mwenyekiti wa chama Cha mapinduzi Stephen Wasira amewataka wana CCM kuchagua viongozi wanaokubalika kwa jamii…
🔴 TANZANIA YAKARIBISHA UWEKEZAJI VITUO VYA KUJAZA GESI VIJIJINI
"Hem tafakari juu ya fursa zinazokuja kupitia Viongozi wetu, ww mmliki wa mgahawa huko kijiji cha mbali ambae bado unatumia mkaa na kuni, sasa ni shwaaaaaaaap kimeiva wanakula wanakulipa wanakwenda,…


