🛑KILILIMO NI UTI WA MGONGO KWASABABU.
KILIMO kimekuwepo tangu kale za mababu zetu. Binadamu wa kwanza walipata chakula chao kwenye mazingira yanayowazunguka na kwa juhudi kama uwindaji kabla ya kuanza kulima ardhi, kupanda mazao na kufuga…
🛑SIDO,WAJASIRIAMALI MAMBO SAFI.
KATIKA utekelezaji wa mikakati yake na hususani kwenye uwekezaji, Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) limeendelea kuhakikisha wajasiriamali wazalishaji wanapatiwa maeneo mazuri ya uzalishaji wa bidhaa zao. Lengo ni kuhak…
🛑JAMVI LIA HABARI LEO JANUARI 28, 2025.
mara kadhaa watu huketi na kujadili juu ya maendeleo ya kiuchumi, kisiasa, kijamimii, burudani na michezo katika sehemu tofauti tofauti, lakini hili jamvi ni kwaajili yako uketi nasi kwa kuchukua…
🛑FIKRAPEVU LEO JANUARI 28, 2025.
kung'amua ni sehemu ya maisha ya kilasiku, lakini ili ung'amue vyema na kuzaa matunda kupitia mchakato huo wa kung'amua, lazma uwe na tafakuri kubwa zitakazo zaa fikira pevu ili utatue…
🛑BUSATI LEO JANUARI 28, 2025.
Kwa sifa za Tanzania hakuna taifa la kufanana na Tanzania kwa sababu ya upekee wake wa kumiliki rasilimali nyingi za kipekee ulimwenguni, mafuta kutoka kwenye visima huko uarabuni tanzania yapo,…
🛑KUMEKUCHA LEO JANUARI 28, 2025.
leo Kumekucha imekuja na taarifa nyingi za kukugusa mtanzania na miongoni mwa taarifa hizo ni pamoja na ile ya SGR kuongeza safari za treni,huku kibaha ikipandishwa hadhi na Dkt. Samia…
🛑TANZANIA BORA LEO JANUARI 28, 2025.
Leo januari 28 mwaka 2025 gazeti la Tanzania Bora limekuletea taarifa lukuki zinazohusu maendeleo ya Tanzania na namna serikali inavyozidi kupambania wananchi wake kwenye miundombinu lakini kubwa kuliko ni ile…
🛑MJASIRIAMALI LEO JANUARI 28, 2025
Leo januari 28, 2025. gazeti la mjasiriamali limefungua na kuonyesha fursa mbali mbali za kumuwezesha kila mtanzania kuwa sehemu ya wanufaika wa mazao ya uongozi bora wa nchi kupitia fursa…
🛑Rais Samia kuishusha pumzi Afrika
Wakati Mkutano wa Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika ujulikanao kama Mission 300, ukiwa umeanza jana, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa ‘kuishusha pumzi’ Afrika pale atakapounguruma…
🛑MAGAZETINI LEO MICHEZO,BURUDANI
Burudika kwapamoja na washkaji kwa kuwapatia nakala ya magazeti haya yanayo kusogezea habari na matukio ya michezo na burudani na ukajihisi bora wakati wote. #maisha sio magumu hivyo mtuwangu #ongeza…


