PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO APRILI 24, 2025
MSIMAMO MKALI Na Mwandishi WetuWAZIRI wa Kilimo,Hussein Bashe amepiga marufuku rasmi bidhaa zote za kilimo kutoka nchini Afrika Kusini na Malawi kuingia nchini.Uamuzi huo umekuja baada ya Bashe kuzipa siku…
PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO APRILI 23, 2025
MAJALIWA: ZAWADI YA DK. SAMIA NA DK MWINYI NI KUWAPA 'MITANO TENA' NA MWANDISHI WETUWAZIRI MKUU wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amesema kuwa zawadi pekee ya thamani…
PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO APRILI 22, 2025
PAPA FRANCIS AAGA DUNIA RAIS wa Jamhuri ya Muungano Dk. Samia Suluhu Hassan ametuma salamu zarambirambi kufuatia kifo cha kiongozi wa Kanisa katoliki duniani Papa Francisko aliyefariki jana.
PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO APRILI 21, 2025
JOKATE: CCM ITAANDIKA HISTORIA UCHAGUZI MKUU Na Mwandishi WetuKATIBU mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Jokate mwegelo, amesema Chama kitaandika historia mpya katika uchaguzi mkuu wa…
PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO APRILI 18, 2025
WASIRA AMPA MAKAVU KADA WA CHADEMA NA MWANDISHI WETUMAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amewahakikishia Watanzania kwamba Chama hicho hakina chuki wala kisasi na mtu yeyote na…
PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO APRILI 17, 2025
CHADEMA SIKIO LA KUFA NA MWANDISHI WETUMTIFUANO mpya umeibuka ndani ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), baada ya aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho upande wa Zanzibar, Said Issa…
PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO APRILI 16, 2025
BASHE AWAKINGIA KIFUA WAKULIMA NA MWANDISHI WETUKATIKA kile kinachoonyesha kuwatetea wakulima, Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, ameionya Mamlal ya Mapato Tanzania (TRA) kutowalazimisha wakulima kutumia mashine za kutoa risiti za…
PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO APRILI 15, 2025
MAKALA: DK SAMIA NI KIONGOZI WA VITENDO NA MWANDISHI WETUKATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amesema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ameacha alama…
BAISKELI ILIVYOKATISHA MAISHA YA BOSI TANESCO
NA MWANDISHI WETURAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Boniface…
SOMA GAZETI LOTE LA TANZANIA BORA APRILI 14/2025
Rais Dk. Samia amlilia Mkurugenzi TANESCO