![](https://jamvilahabari.co.tz/wp-content/uploads/2025/01/0_Alejandro-Garnacho.jpg)
LONDON, England
TIMU ya Chelsea wanatazamiwa kufanya mazungumzo zaidi na Manchester United kuhusu winga wa Argentina Alejandro Garnacho, 20, ambaye thamani yake ni pauni milioni 50.
![](https://jamvilahabari.co.tz/wp-content/uploads/2025/01/0_Alejandro-Garnacho.jpg)
Wakati hayo yakiendelea, Manchester United imewaulizia wachezaji wa Bournemouth na Hungary Milos Kerkez, 21, Wolves na Algeria Rayan Ait-Nouri, 23, na kiungo wa Crystal Palace na Muingereza Tyrick Mitchell, 25, huku kipaumbele cha Ruben Amorim kikiwa kumsajili winga wa kushoto.