Mgombea ubunge wa CCM jimbo la Nkasi Kaskazini mkoani Rukwa. Ally Kessy ameshindwa kutetea kiti cha ubunge baada ya kupata kura 19, 972 na kushindwa na mgombea wa Chadema, Aida Khenan aliyepata kura 21, 226 ikiwa tofauti ya kura 1,254.

Karibu tena Uhabarike katika ukurasa huu maalum na Rasmi wa gazeti bora na makini la kila siku la JAMVI LA HABARI. Tunayo furaha kukujuza kuwa JAMVI LA HABARI ndio gazeti linaloongoza kwa kuandika habari za kweli na umakini zilizochambuliwa na kufanyiwa utafiti wa kina. JAMVI LA HABARI, HAKIKA NI GAZETI LAKO.
Contact us: jamvilahabari@gmail.com