Hivi karibuni Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk. Faustine Ndugulile alitoa miezi mitatu kwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA) kumaliza kero katika sekta...
JUZI Jumba la kihistoria la Beit al Ajaib, lililopo visiwani Zanzibar liliporomoka wakati likiwa katika ukarabati mkubwa unaosimamiwa na Serikali ya Kisultan ya Oman.
Jengo...
MARA nyingi zinaponyesha mvua kubwa katika maeneo mbalimbali hapa nchini kumewawapo na madhara ambayo ynaweza kuepukwa endapo wananchi watachukua tahadhari zinazotolewa na mamlaka husika.
Miongoni...
Na Mwandishi Wetu
Zoezi la kampeni linaelekea ukingoni zikiwa zimebaki siku tatu kufikia siku ya kupiga kura, huku wagombea kutoka vyama mbalimbali vya siasa wakizunguka...
Na Dotto Kwilasa,Dodoma
ILIKUWA Desemba 15-16 Mwaka 2020 ambapo Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH)iliendesha mafunzo ya uandishi wa habari za Sayansi,Teknolojia na...
Kampuni pendwa ya simu Infinix Mobility Limited kwa mwaka wa 2020 ilifanya matamasha mbalimbali yenye kuhusisha zaidi mashabiki (fans) wake. kati ya matamasha yalionekana...
Na Mwandishi Wetu
Watumishi 23 wa Idara ya Famasia katika Taasisi ya Mifupa (Moi) wanachunguzwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kwa...
Na Dotto Kwilasa,Mwanza
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Dk. Leonard Chamuriho, amemtaka Mkandarasi anayejenga Daraja la Magufuli jijini Mwanza, kutoa ajira nyingi za vibarua...
Na Mwandishi Wetu, CHATO
Serikali imeitangaza Wilaya ya Chato mkoani Geita kuwa kitovu cha uhifadhi na utalii wa Kanda ya Ziwa.
Hayo yameelezwa jana jioni Jumanne...