Kivumbi cha mechi 15 kwa kila timu inayocheza ligi kuu msimu huu wa 2023/24 kimekamilika
![](https://jamvilahabari.co.tz/wp-content/uploads/2024/12/IMG-20241230-WA0010-1-1024x1024.jpg)
Simba anaeongoza ligi akiwa anamiliki point 40 kwa tofauti ya alama moja na aliyopo nafasi ya pili Ambaye ni young Africans mwenye point 39🏆
Katika nafasi ya tatu ni matajiri wa Jiji la Dar Azam fc waliovuna alama 36 katika michezo 16
![](https://jamvilahabari.co.tz/wp-content/uploads/2024/12/salehjembefacts_20241229_p_3533281264032932784_1_3533281264032932784-870x1024.jpg)
![](https://jamvilahabari.co.tz/wp-content/uploads/2024/12/IMG-20241230-WA0010.jpg)
Wakulima wa Alizeti 😆 Singida Black Stars wamesimama katika nafasi ya 4 wakiwa na zao 33 walizozikusanya katika mechi 16.
Mchezaji gani amekukosha zaidi katika mzunguko huu wa kwanza ⚽
Ni mechi gani Bora ulioitazama katika mzunguko huu wa kwanza⚽
Mwamuzi gani aliyetoa maamuzi mabovu kuliko waamuzi wote katika mzunguko huu wa kwanza
Timu umeifatilia tangu mechi ya kwanza mpaka ya 15 kutokana na mwenendo wake
![](https://jamvilahabari.co.tz/wp-content/uploads/2024/12/IMG-20241230-WA0010-1024x1024.jpg)